Tuesday, June 16, 2009

WAETHIOPIA 98 WATIWA MBARONI MKOANI MBEYA.

HAWA ni raia 98 kutoka nchini Ethiopia waliotiwa mbaroni kijiji cha Ulenje, wilaya ya Mbeya vijijini kwa kuingia nchini kinyume cha sheria wakiwa safarini kuelekea nchini Malawi ambako walidai kuwa walikuwa wanaenda kuomba Ukimbizi.Hapa walikuwa wakitolewa ofisi za Uhamiaji mkoa kupelekwa mahabusu kituo kikuu cha polisi.

No comments:

Post a Comment